Jarida la Mapishi

Mboga

Mchuzi wa bamia

  • 0 / 5

Mchuzi wa bamia, ni mboga tamu inayopikwa kwa kutumia bamia mbichi, vitunguu, nyanya pamoja na viungo. Mboga hii yafaa kuliwa

READ MORE

Mboga ya karoti na spinachi

  • 0 / 5

Mboga ya karoti na spinachi, ni pishi rahisi kupika ambalo hupikwa kwa kutumia spinachi, karoti, nyanya, pamoja na viungo. Mboga

READ MORE

Mboga ya uyoga na pilipili hoho

  • 0 / 5

Mboga ya uyoga na pilipili hoho, ni pishi tamu kuliko mboga zote za uyoga ulizowahi kula. Mboga ya hii hupikwa

READ MORE

Mboga ya maharage machanga

  • 0 / 5

Mboga ya maharage machanga, ni mboga nzuri yenye afya na rahisi kupika. Unachohitaji ili kupika mboga hii, ni maharage machanga,

READ MORE

Mchuzi wa mbaazi

  • 0 / 5

Mchuzi wa mbaazi, ni chakula kitamu, chenye virutubisho na rahisi kupika, ambacho chafaa kuliwa pamoja na wali, chapati au mkate.

READ MORE

Mchuzi wa adesi

  • 0 / 5

Mchuzi wa adesi, ni pishi ambalo hupikwa kwa kutumia adesi, vitunguu maji pamoja na viungo vya aina mbali mbali kama

READ MORE

Magimbi yenye nyanya

  • 0 / 5

Magimbi yenye nyanya, ni chakula kitamu na chenye ladha nzuri, ambacho hupikwa kwa kutumia magimbi yaliyo chemshwa, nyanya pamoja na

READ MORE

Mchuzi wa maharage

  • 0 / 5

Mchuzi wa maharage, ni chakula kitamu, rahisi kupika na chenye lishe. Maharage haya hupikwa kwa kutumia maharage mekundu pamoja na

READ MORE

Mchuzi wa kunde

  • 0 / 5

Mchuzi wa kunde, ni pishi lenye utamu ambao utakufanya uone ya kuwa huli kunde za kutosha. Pishi hili la kunde

READ MORE

Mchuzi wa choroko

  • 0 / 5

Mchuzi wa choroko, ni pishi lenye virutubisho vyenye afya tele pamoja na ladha nzuri ambayo inatokana na mchanganyiko wa viungo

READ MORE