Kuku wa ukwaju
Kuku wa ukwaju, ni kitoweo kitamu na rahisi kupika chenye ladha ya mchanganyiko wa utamu na uchachu, ambacho hupikwa kwa
READ MOREPilau ya tangawizi na minti
Pilau ya tangawizi na minti, ni chakula chenye ladha ya kipekee ambacho hupikwa kwa kutumia mchele, kitunguu maji, kiazi mviringo,
READ MOREPilau ya spinachi
Pilau ya spinachi, ni chakula kizuri na chenye afya ambacho hupikwa kwa kutumia pilau ya binzari nyembamba, pilipili hoho, spinachi,
READ MOREBiriani ya nyama
Biriani ya nyama, ni chakula kitamu ambacho chafaa kuliwa hasa wakati wa sherehe. Chakula hiki hupikwa kwa kutumia mchele, mtindi,
READ MOREBiriani ya mboga
Biriani ya mboga, ni chakula kitamu na chenye harufu nzuri ambacho hupikwa kwa kutumia wali mweupe uliopikwa, maziwa, mboga mchanganyiko,
READ MOREBiriani ya mbavu
Biriani ya mbavu, ni chakula kitamu ambacho chafaa kuliwa hasa wakati wa sherehe. Biriani hii hupikwa kwa kutumia, pilau ya
READ MOREBiriani ya biringanya
Biriani ya biringanya, ni chakula kitamu ambacho chafaa kupika hasa katika kipindi cha kiangazi. Chakula hiki hupikwa kwa kutumia mchele,
READ MOREPilau ya maharage ya soya
Pilau ya maharage ya soya, ni chakula kizuri ambacho hupikwa kwa kutumia mchele, pilipili hoho, nyanya, maharage ya soya yaliyo
READ MOREPilau ya dengu
Pilau ya dengu, ni chakula kizuri ambacho hupikwa kwa kutumia mchele, vitungu maji, dengu zilizo chemshwa, pamoja na viungo vya
READ MOREPilau ya mahindi na njegere
Pilau ya mahindi na njegere, ni chakula kizuri na chenye afya ambacho hupikwa kwa kutumia mchele, mahindi mabichi, njegere pamoja
READ MORE